Mamlaka ya Takwimu nchini China imesema, kiwango cha uzalishaji nchini humo kwa mwezi Agosti kimeongezeka kwa asilimia 4.1 ikilinganishwa na mwaka jana kipindi kama hicho.
Takwimu zilizotolewa leo na Mamlaka hiyo zimeonesha kuwa, alama ya manunuzi nchini China imeongezeka kwa asilimia 2.3 kwa mwezi Agosti ikilinganishwa na mwaka jana wakati kama huo, ikiwa ni ongezeko la asilimia 2.1 kwa mwezi Julai.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |