Ili kujiweka sawa kwa ajili ya mechi yake ya hatua ya makundi ya ligi ya soka kwa timu za mataifa ya Ulaya, Uingereza jana imecheza mechi ya kirafiki dhidi ya Uswisi.
Katika mechi hiyo, Uingereza imepata ushindi wa goli 1-0 lililofungwa na Marcus Rashford kunako dakika ya 54.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |