Mustapha Ghorbal ni muamzi wa kimataifa kwa miaka minne.Ni mmoja kati ya marefa anayejulikana kwa kutowahaurumia wachezaji wanapofanya makosa uwanjani. Msimu uliopita wa ligi ya Algeria kwenye mechi mbili za msimu huu, ametoa kadi 158 zikiwemo 11 nyekundu.
Ataongoza mechi akiwa na wengine watatu wa Algeria.Msamamizi wa mechi atakuwa Saidou Diori Maiga wa Niger.
Mechi ya marudiano itapigwa baada ya wiki moja Septemba 23 nchini Nigeria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |