Mabao mawili kutoka kwa Salum Mussa mnamo dakika ya 2 na 70 na msumari wa Posiana Malik kunako dakika ya 36 yalihitimisha ndoto za JKU kumyakua ubingwa wa ligi kuu ya Zanzibar mara ya pili mfululizo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |