• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • JKU yatwaa Ubingwa wa ligi kuu Visiwani kwa tabu sana

    (GMT+08:00) 2018-09-13 10:24:05
    Hatimaye ligi kuu Zanzibar imekamilika baada ya klabu ya JKU kutetea ubingwa wa soka visiwani kwa msimu wa 2017/18 baada ya kutoa kichapo kwa timu ya Jamhuri mabao 3-1 kwenye mchezo uliopigwa jioni ya jana uwanja wa amani.

    Mabao mawili kutoka kwa Salum Mussa mnamo dakika ya 2 na 70 na msumari wa Posiana Malik kunako dakika ya 36 yalihitimisha ndoto za JKU kumyakua ubingwa wa ligi kuu ya Zanzibar mara ya pili mfululizo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako