Kwa mujibu wa mwenyekiti wa muungano wa vilabu barani Ulaya, Andrea Agnelli, michuano ya hiyo ya tatu kwa ukubwa inatarajiwa kuanza kuanzia mwaka 2021.
Agnelli amesema michuano itasaidia kuongeza vilabu vinavyoshirikia michezo ya ulaya kutoka 80 mpaka 96
Wazo la kuanza kwa michuano hiyo kutaifanya michuano ya Europa ligi kupungua timu toka timu 48 mpaka 32. Hivyo michuano yote itakuwa na idadi sawa ya timu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |