• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Zimbabwe :Zimbabwe inajenga mpango wa kuboresha uchumi

    (GMT+08:00) 2018-09-18 19:13:17
    Serikali ya Zimbabwe inajenga mpango wa muda mfupi wa kiuchumi ili kusaidia kuimarisha uchumi kufikia kipato cha katikati ifikapo 2030.

    Katibu wa kudumu katika Ofisi ya Rais Stuart Comberbach alisema rasimu ya Mpango wa miaka miwili wa kiuchumi umetolewa kwa wadau ili kuzingatia.

    Alisema mpango huo utaongoza uchumi kwa miaka miwili ijayo na utafuatiwa na mipango miwili ya maendeleo ya taifa ya miaka mitano.

    Ameeleza kwamba ya kwanza itakuwa 2021 hadi 2025 na mwingine mwaka wa 2026 hadi 2030.

    Utawala mpya wa Zimbabwe chini ya Rais Emmerson Mnangagwa unalenga kuwa uchumi wa katikati kipato cha dola bilioni 65 mwaka wa 2030.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako