Wakulima hao walisema kukosekana kwa soko la uhakika kumefanya bei ya mchele kudorora na kuwasababishia hasara kwa sababu wanatumia gharama kubwa katika uzalishaji wake.
Septemba 12, Serikali ilitoa agizo la kusitisha uagizwaji wa mchele kutoka nje ya nchi kutokana na uliopo nchini kutosheleza mahitaji.
Ilisema mchele uliopo nchini kwa sasa ni tani milioni 2.2, kiwango kilichotokana na wakulima wa mpunga kupatiwa mbinu bora za kitaalamu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |