Nchini Tanzania, Mahakama imepanga kuwa Oktoba 2 ndiyo itaamua hatma ya kesi inayowakabili viongozi wawili wa klabu ya Simba FC, Evans Aveva na Geoffrey Nyange.
Uamuzi huo utakuwa eidha kuendelea na kesi hiyo au kuifuta na hii kutokana na wakili wa utetezi kuiomba mahakama kufuta kesi hiyo kwa madai kuwa haina vielelezo vya mwendelezo.
Viongozi hao wawili wanakabiliwa na kesi za kula njama, kugushi na matumizi mabaya ya madaraka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |