Rais Xi Jinping wa China amesema nchi yake itachukua njia ya amani ya maendeleo bila kusita, na itaendelea kuwa mjenzi wa amanii ya dunia, mchangiaji wa maendeleo ya dunia na mlinzi wa utaratibu wa kimataifa.
Rais Xi amesema hayo leo huko Nanjing katika barua yake ya pongezi katika shughuli za kumbukumbu ya Siku ya Kimataifa ya Amani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |