Ndege ya kivita ya MiG-31 ya Russia imeanguka mkoani Nizhny Novgorod magharibi mwa nchi hiyo ambapo marubani walifanikiwa kuruka salama. Wizara ya Ulinzi ya Russia imenukuliwa ikisema ndege hiyo iliruka bila kuwa na silaha na iliangukia katika eneo lisilo na makazi na kutosababisha uharibifu ardhini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |