• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya:Gharama ya maisha kupanda kutokana na ushuru mpya

    (GMT+08:00) 2018-09-20 19:48:34
    Harakati za serikali ya Kenya kutaka kuongeza ushuru katika sekta mbali mbali nchini zitatatiza na kuvuruga mipango ya gharama ya maisha ya wanachi.

    Mbali na ushuru wa asilimia 8 kwa petroli,serikali inapania kupata ushuru wa zaida kutoka kwa huduma za simu za mkononi, ,na hata mafuta taa.

    Waathiriwa wakuu wa ushuru huu mpya watakuwa ni watu wanaoishi maeneo mashinani pamoja na wa watu walioajiriwa na kampuni ama na serikali.

    Pendekezo la ushuru huo mpya litakata asimia 0.5 na asilimia 1.5 kwa wafanyikazi na waajiri wao

    Wakenya huenda wakapata wakati mgumu zaidi wa kukabiliana na maisha ambayo mwaka huu tayari yamekuwa magumu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako