Agizo hili linajiri kufuatia ushuru mpya wa asilimia 8 kwa petroli.
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa muungano wa matatu Simon Kimutai ,ni kwamba halmashauri ya usalama wa barabarani haina uwezo wa kupanga ratiba ya bei mpya.
Amesisitiza kwamba nauli zitalazimika kupanda kufuatia ongezeko la bei ya petroli.
Wahudumu hao wameongeza nauli kwa asilimia 20 licha ya Uhuru kupunguza ushuru mpya kutoka asilimia 16 hadi 8.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |