• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rwanda:Rwanda yapewa frank bilioni 85 kufadhili miradi ya maendeleo

    (GMT+08:00) 2018-09-20 19:49:38
    Serikali ya Rwanda imepokea franki bilioni 85.2 kutoka kwa Japan,Ujerumani na benki ya dunia kufadhili miradi ya maendeleo.

    Misaada hii itatumika kujenga miradi ya kilimo,miundo msingi,ugatuzi wa huduma,elimu na ukuwaji wa kiuchumi.

    Waziri wa fedha Uzziel Ndagijimana ameahidi kuwekeza zaidi katika uzalishaji ili kumaliza ukosefu wa chakula .

    Benki ya dunia pekee imetoa franki bilioni 22.6 za kilimo pamoja uimarishaji wa sekta ya ujenzi .

    Miradi ya chakula itafanywa katima maeneo ya Rulindo, Rwamagana, Karongi, Rutsiro, Kayonza, Nyanza, Gatsibo na Nyabihu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako