Uturuki imetangaza mpango wa kipindi cha katikati kwa ajili ya miaka mitatu ijayo ya kuanzia mwaka 2019 hadi mwaka 2021. Mpango huo wenye kauli mbiu ya "utulivu, nidhamu na mageuzi" unalenga kupunguza mfumuko mkubwa wa bei na kiwango cha juu cha ukosefu wa ajira, na pia kukuza uchumi wakati thamani za fedha yake inaporomoka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |