• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Vifo kutokana ajali ya kuzama kwa kivuko nchini Tanzania vyafikia 218

    (GMT+08:00) 2018-09-23 16:04:54

    Vifo kutokana na ajali ya kuzama kwa kivuko kwenye ziwa Victoria nchini Tanzania vimeongezeka na kufikia 218 na kuna uwezekano idadi hiyo ikaongezeka.

    Kwa mujibu wa waziri wa Kazi, Usafirishaji na mawasiliano, Isack Kamwelwe miili Zaidi inaweza kupatikana kwa kuwa shughuli za uokoaji na uopoaji zinaendelea.

    Aidha waziri huyo amesema tayari shughuli za ndugu kutambua miili ya wapendwa wao zinaendelea, na akiwaambia waandishi wa habari kuwa meli kubwa iliyobeba mitambo kwa ajili ya kuvuta kivuko hicho kilichozama inatarajiwa kuwasili na kuanza kufanya kazi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako