Ofisi ya habari ya Baraza la Serikali la China leo saa 7 mchana kwa saa za Beijing itatoa waraka kuhusu ukweli wa mgogoro wa kiuchumi na kibiashara kati ya China na Marekani na msimamo wa China katika suala hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |