Emmanuel Saina wa Kenya amefanikiwa kuweka rekodi mpya katika mashindano ya mbio za kilomita 42 baada ya kutwaa taji la Buenos Aires Marathon nchini Argentina akitumia saa 2 dakika 05 na sekunde 21.
Saina mwenye umri wa miaka 26, na ambaye hakuwa ameshiriki mashindano yoyote ya marathon, aliongoza kutoka mwanzo hadi utepeni katika mbio hizi zilizovutia zaidi ya washiriki 9, 000.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |