Rais Xi Jinping wa China ametoa salamu za rambirambi kwa mwenzake wa Tanzania John Magufuli kutokana na ajali ya kivuko cha MV Nyerere ambayo hadi sasa imesababisha vifo vya watu 226.
Naye waziri mkuu wa China Bw. Li Keqiang pia ametoa salamu za rambirambi kwa mwenzake wa Tanzania Bw. Kassim Majaliwa kutokana na ajali hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |