Uongozi wa La Liga ulitangaza kuwa moja kati ya mpango wake wa kuikuza na kuongezea thamani ligi hiyo, wataruhusu baadhi ya mechi za La Liga zikachezwe nchini Marekani ili kuiongezea umaarufu na thamani zaidi ligi hiyo.
Baada ya taarifa hizo kutoka Rais wa club ya Real Madrid Florentina Perez ameamua kuweka wazi msimamo wake, kuwa kama watacheza La Liga nchini Marekani ni sawa kwa vilabu vingine lakini sio kwa klabu yake ya Real Madrid.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |