Nayo Barcelona mbele ya nahodha wake Lionel Messi wamechapwa 2-1 na Leganes mchezo uliopigwa uwanja wa manispaa wa Butarque mjini Leganes. Nayo Valencia CF imetoka sare ya 1-1 na Celta Vigo, huku Athletic Bilbao ikikubali kipigo cha 3-0 toka kwa Villarreal.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |