Meli 22 za mizigo zinatarajiwa kuwasili katika bandari ya Mombasa katika mda wa wiki 2 zijazo.
Kuwasili kwa mei hizi kunaonyesha ukuwaji wa shughuli za bandari kufuatia oparesheni za reli ya kisasa ya SGR.
Utafiti unaonyesha kwamba treni nane husafirisha mizigo kila siku .
Wiki hii,meli 10 zimetia nanga bandarini kabla ya mizigo kupakuliwa na kusafrishwa katika nchi za Afrika Mashariki Uganda ikiwa ndio mteja mkuu ikifuata na Tanzania.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |