• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • "Haki ya kila mtu" nchini Finland yahimizwa kuorodheshwa kama urithi wa dunia

    (GMT+08:00) 2018-10-01 08:54:13

    Shirikisho la Nje ya Majumba la Finland likishirikiana na mashirika mengine limeanza kampeni ya kuhimiza "haki ya kila mtu" ya nchi hiyo katika orodha ya urithi wa utamaduni usioshikika wa UNESCO.

    "haki ya kila mtu" ya Finland inamaanisha kuwa kila mtu anaweza kuingia na kufurahia msitu wowote au maumbile mengi asili ya pori, bila kujali mtu anayemiliki eneo hilo. Wamiliki hawawezi kuwazuia kuingia isipokuwa kwenye maeneo yaliyo karibu na nyumba zao.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako