Serikali imeomba dola milioni 212 kutoka China ili kupanua umeme kwa wilaya ndogo kwa jitihada za kuboresha upatikanaji wa umeme.
Waziri wa Nishati Uganda, Irene Muloni, amesema haya wakati wa mkutano wa Nishati jijini Kampala, kwamba wamepata mkopo kutoka Benki ya Exim ya China kwa ajili ya mradi ambao utapanua umeme kwa wilaya zote nchini kote katika miaka mitatu ijayo.
Uganda sasa ina mistari chini ya milioni 1.5 iliyounganishwa kwenye gridi ya taifa, na Umeme.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |