Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Tanzania Dkt. Harrison Mwakyembe ametoa wiki mbili kwa vilabu vya mchezo wa kriketi kuweza kujisajili.
Dkt. Mwakyembe amesema vilabu vyote vya michezo yoyote ni lazima kujiendesha kihalali kwa kusajiliwa na kuweza kutambuliwa kisheria, na hiyo inasaidia kujiendesha kufuata taratibu, sheria na kanuni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |