Sajili zinaonyesha kuwa mwezi Agosti,Bw Yang alinunua hisa kwa jina lake na pia kupitia kampuni yake ya Erdemann Property Limited na Erdemann Company (Kenya) Limited.
Kampuni ya Erdemann Property Ltd ilijenga nyumba za kuishi 1,140 za vyumba viwili na vitatu katika awamu tatu zinazoitwa Greatwall Apartments kwa gharama ya zaidi ya Sh3 bilioni.
Sehemu ya mradi huo ilifadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya China.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |