• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tanzania-Bodi ya kahawa yasikitishwa na kushuka kwa bei

    (GMT+08:00) 2018-10-03 18:52:25
    Bodi ya kahawa nchini Tanzania (TCB) imesema soko la Dunia la zao hilo limeshuka kutoka 196,000 katika msimu wa mwaka 2016/2017 kwa kilo 50 za gunia la kahawa.

    Akizungumza katika siku ya kahawa duniani,Kaimu Mkurugenzi wa TCB,Primu Kiimaro,alisema kushuka kwa bei kumesababishwa na kuongezeka kwa kwa uzalishaji wa kahawa duniani.

    Alisema Bodi ya Kahawa nchini Tanzania imesema soko la Kahawa Duniani liemshuka kwa kiasi kikubwa jambo ambalo limesababisha uwepo wa mrundikano mkubwa wa magunia kwa wakulima.

    Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Moshi,Kippi Warioba,amewataka kutafuta wawekezaji wa ndani na nje amabao watajenga viwanda.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako