Duka hilo litafungua tawi katika jumba la maduka ya biashara la Oasis Mall jijini Kampala.
Carrefour tayari imeweka mabango kuashiria kwamba watafungua duka Kampala mwaka ujao.
Hivi sasa soko la maduka makubwa ya rejareja nchini Uganda lina maduka ya kampuni za Shoprite na Game kutoka Afrika Kusini,na Tuskys kutoka Kenya.Mengine ni pamoja na Quality Mega na Standard.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |