Waziri mkuu wa China Bw. Li Keqiang atatembelea Tajikistan na Uholanzi kuanzia tarehe 11 hadi tarehe 19, mwezi huu, na kushiriki kwenye mkutano wa 17 wa Baraza la viongozi wa nchi za Jumuiya ya Ushirikiano wa Shanghai utakaofanyika mjini Dushanbe, Tajikistan.
Pia Bw. Li anatarajiwa kufanya ziara nchini Ubelgiji na kushiriki kwenye mkutano wa 12 wa viongozi wa nchi za Asia na Ulaya
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |