Waasi wasiopungua watano wameuawa na wengine 15 kujeruhiwa katika makabiliano ya kijeshi na vikosi vya serikali ya Yemen vinavyoungwa mkono na Saudi Arabia katika mkoa wa Taiz, kusini magharibi mwa Yemen.
Shirika la habari la Yemen, Saba, limesema jeshi la serikali limezuia shambulizi lililofanywa na waasi wa Houthi dhidi ya maeneo muhimu ya kijeshi mkoani Taiz.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |