Vijana 8 wa timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17 'Serengeti Boys' wamepata dili la kufanya majaribio katika vilabu mbalimbali barani Ulaya.
Hii inatokana na uwezo mkubwa waliouonyesha kwenye mashindano mabalimbali yakiwemo ya kufuzu michuano ya AFCON.
Mmoja wa wachezaji hao Moris Abraham anatarajiwa wiki ijayo kuelekea Denmark ambako atafanya majaribio ya wiki mbili baada ya kukamiliKa kwa taratibu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |