Benki ya Biashara ya Ethiopia (CBE), imetangaza mipango ya kuhimiza wananchi wao katika nchi za nje na mikopo ya nyumba.
Taarifa hiyo kutoka kwa Benki imesema kuwa wanalenga wa Ethiopia ambao hawaishi nchini humu na wa kigeni wa asili ya Ethiopia.
Mkurugenzi wa CBE Bacha Gina, wakati wa mkutano wa wadau uliofanyika mapema wiki hii katika mji mkuu wa Addis Ababa, amesema kuwa bidhaa hiyo ilikuwa sehemu ya maono ya benki kutumikia na kukua pamoja na wateja wake.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |