Makamu wa Rais wa Sayansi na Teknolojia Sorena Sattari alikuwa nchini Uganda na Kenya siku ya wekendi kuchunguza fursa za biashara na kuongeza uhusiano wa biashara kati ya nchi.
Ziara hii, inakuja mwezi mmoja kabla ya vikwazo vya Umoja wa Mataifa juu ya bidhaa za mafuta na gesi ya Tehran.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |