• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Katibu mkuu wa UM atoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka kukabiliana na ongezeko la joto duniani

    (GMT+08:00) 2018-10-09 08:15:45

    Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Antonio Guterres ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa baada ya Jopo la Kati ya Serikali kuhusu Mabadiliko ya Hali ya Hewa IPCC kutoa ripoti ikitaka ongezeko la joto duniani lisizidi nyuzi 1.5. Ripoti hiyo imesema kutimiza lengo la nyuzi 1.5 badala ya nyuzi 2 iliyokubaliwa kwenye Makubaliano ya Paris kutatoa manufaa kwa watu na mifumo ya kiikolojia ya asili.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako