• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Wataalamu wa UM watoa wito wa kukomesha mabavu dhidi ya wasichana

    (GMT+08:00) 2018-10-10 08:52:36
    Jopo la wataalamu wa haki wa Umoja wa Mataifa wametoa wito kwa nchi mbalimbali kuchukua hatua ili kutokomeza ubaguzi na matumizi ya nguvu yanayohusiana na jinsia dhidi ya wasichana.

    Katika taarifa ya pamoja ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wasichana, ambayo inaangukia tarehe 11, Oktoba, wataalamu wamesema mtazamo sugu na upendeleo wenye athari mbali vinavyohusiana na umri na jinsia mara kwa mara vinakwamisha maendeleo ya wasichana na kuwaweka mahali penye hatari, kwa hivyo ni lazima hatua zichukuliwe ili kulinda haki zao za kibinadamu na kuwawezesha washiriki kikamilifu katika mambo mbalimbali ya kijamii.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako