Kitengo cha kuzuia matumizi ya dawa za kuongeza nguvu na kusisimua misuli michezoni (AIU) kimesema, Kalalei mwenye umri wa miaka 23 alifanyiwa vipimo wakati wa michuano ya riadha ya Rotterdam mwezi April ambapo alimaliza mashindano hayo kwa kukamata nafasi ya 7.
Wanariadha wa Kenya wamekuwa wakikumbwa na rungu hilo miaka ya karibuni, akiwemo mwanariadha aliyeshinda medali katika mashindano ya Rio Olimpiki yam waka 2016, Jemima Sumsong.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |