Djokovic raia wa Serbia, amepata ushindi wa 6-3 na 7-5 katika mchezo huo uliochezwa kwenye viwanja vya Centre Court.
Katika mchezo ujao, Djokovic anaweza kupambana ama na Marco Cecchinato anayeshika nafasi ya 16 ya ubora au Hyeon Chung.
Mashindano ya Shanghai Masters yameanza Oktoba 6, mwaka huu na yatamalizika Oktoba 14, mwaka huu yakichezwa Shanghai.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |