Ronaldo amekana tuhuma hiyo inayomkabili ya kumbaka mwanadada Kathryn Mayorga kwenye hoteli moja jijini Las Vegas Marekani mwaka 2009.
Katika taarifa yake, mwanasheria huyo Peter Christiansen ameeleza msimamo wa mteja wake unaendelea kuwa vilevile na Ronaldo kukubali mkataba haina maana ya kuwa amekiri kuwa na hatia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |