• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • SOKA: Matokeo ya michezo ya FA Cup

    (GMT+08:00) 2018-10-11 09:01:09
    Jumla ya michezo mitatu ya FA Cup imepigwa usiku wa jana na matokeo ni kuwa, Chippenham Town imeibuka na ushindi mnono wa goli 4-1 dhidi ya Hendon, nayo Kidsgrove Athletic imeifunga Workington kwa 2-1, na mchezo mwingine ulikuwa ni Taunton Town imeishushia mvua ya magoli 5-2 St. Albans.
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako