SOKA: Matokeo ya michezo ya FA Cup
(GMT+08:00) 2018-10-11 09:01:09
Jumla ya michezo mitatu ya FA Cup imepigwa usiku wa jana na matokeo ni kuwa, Chippenham Town imeibuka na ushindi mnono wa goli 4-1 dhidi ya Hendon, nayo Kidsgrove Athletic imeifunga Workington kwa 2-1, na mchezo mwingine ulikuwa ni Taunton Town imeishushia mvua ya magoli 5-2 St. Albans.