Rais wa CGF Louise Martin ameelea kuwa uanachama wa Rwanda katika Jumuiya ya madola ni wa aina yake na kwakuwa Rwanda itakuwa inatimiza miaka 10 tangu kujiunga na jumuiya hiyo, wanataka kutumia nafasi hiyo kujenga jina la Rwanda katika michezo hiyo.
Mkutano huo utafanyika mjini Kigali ambapo agenda kubwa itakuwa Uchaguzi Mkuu wa CGF kupitia sheria zinazoongoza shirikisho hilo na kanuni zake.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |