• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Changamoto za kiusalama ni tishio kwa uchaguzi mkuu ujao wa DRC

    (GMT+08:00) 2018-10-12 10:18:01
    Tume ya Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC imetoa onyo kuwa ukosefu wa usalama nchini humo utatishia uchaguzi mkuu ujao wa nchi hiyo.

    Tume hiyo imesema utata wa hali ya usalama nchini humo na vitendo vya vikundi vyenye silaha katika eneo la mashariki mwa nchi hiyo, vimekuwa changamoto kubwa kwa uchaguzi huo. DRC si kama inapaswa kulinda usalama wa wagombea, bali pia inatakiwa kuhakikisha kunakuwa na mazingira mazuri ya kupiga kura.

    Tume hiyo imeshauri DRC kuanzisha utaratibu wa usalama wa uchaguzi, na uratibu wa kimkakati wa vikosi mbalimbali vya kulinda usalama, ili kukabiliana na changamoto hizo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako