Ripoti ya Shirika la Fedha la Kimataifa IMF imesema uchumi wa kanda hizo mbili unahitaji kuimarisha uwezo wao wa kufanya uchambuzi wa hatari ya kukopa na kusimamia malipo kwa mikopo ya kibiashara.
Hata hivyo, IMF imepongeza Kenya na Tanzania kwa mkakati wake wa kutoa taarifa juu, ya madeni yake ya muda mfupi ili kukabiliana na hatari kubwa za dhima.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |