Kamishna wa amani na usalama wa Umoja wa Afrika Bw. Smail Chegui amesema makubaliano ya ushirikiano kati ya Utaratibu wa Ushirikiano wa Polisi wa Afrika Afripol na Shirika la Kimataifa la Polisi Interpol yanatarajiwa kusainiwa mwezi Januari mwakani ili kuimarisha ushirika na uratibu katika kupambana na changamoto za kiusalama kama vile ugaidi na uhalifu wa kupangwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |