• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Russia na Iran zaahidi kushirikiana kutuliza soko la mafuta duniani

    (GMT+08:00) 2018-10-16 09:38:02

    Mawaziri wa nishati wa Russia na Iran wamejadili hali ya soko la mafuta duniani na uwezekano wa kanuni kuhusu uzalishaji wa mafuta katika siku za baadaye, chini ya makubaliano yaliyofikiwa kati ya Shirika la Nchi Zinazozalisha Mafuta OPEC na wazalishaji wasio wa OPEC. Waziri wa nishati wa Russia Bw. Alexander Novak amesema kutokana na juhudi za pamoja, uzalishaji wa mafuta umeongezeka kwa mapipa milioni 1 kwa siku, na inatarajiwa kuwa nchi hizo mbili zitatuliza soko na kuwajibika katika kutengeneza kanuni tulivu na zinazotabiriwa katika sekta ya mafuta kwa ajili ya maslahi ya wazalishaji, wateja na wawekezaji wote.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako