Benki ya dunia kwenye ripoti yake imesema ukuaji wa uchumi pia utaongezeka hadi asilimia 6 mwaka 2020.
Hata hivyo benki hiyo imesema sekta ya utengenezaji bidhaa imeendelea kukua polepole kutoka asilimia 0.5 mwaka 2017 hadi asilimia 2.7 mwaka 2018.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |