Wakulima hao wanasema katika mazingira ya kawaida ekari moja inazalisha kati ya magunia 7-8 ya maharage ya soya huku bei ya gunia moja ikiwa ni dola 66 baada ya miezi 3.
Mwaka wa 2015, wakulima 10 walijiunga kwenye kundi moja na kuanza kilimo hicho na sasa wameongezeka hadi wakulima 62.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |