Miradi hiyo inatumia kawi ya miale ya jua na maji yake yanatoka kwenye eneo chepechepe la Kyoja.
Hata hivyo familia 45 zilizolengwa kwenye mradi huo chini ya chama cha Kyassonko wanasema hawajafaidika kutokana na ukosefu wa maji.
Msemaji wa baraza la wilaya ya Lwengo George Matovu Saitoti, amesema mipango imeanzisha ili kuweka vifaa vipya kwenye mfumo wa kusambaza maji ili kurejesha tena ukuzaji wa mboga.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |