Abiria saba wamefariki dunia na wengine 125 wamejeruhiwa baada ya treni waliyokuwa wakisafiria kuacha njia kaskazini mwa Morocco. Chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana, na uchunguzi tayari umeanza.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |