• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Baraza la Katiba la Cameroon lakataa maombi 16 ya kufuta kura za uchaguzi wa rais

    (GMT+08:00) 2018-10-17 09:14:54

    Baraza la Katiba la Cameroon limekataa maombi 16 kati ya 18 yanayotaka kubatilisha baadhi au kura zote zilizopigwa katika uchaguzi mkuu wa tarehe 7, Oktoba nchini humo. Wanasheria wa Bw. Cabral Libbi, mgombea wa chama cha upinzani cha Univers, walitetea kuwa uchaguzi huo unapaswa kubatilishwa kwani haukufanyika kwa uhuru, haki wala uwazi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako