Gwiji huyo wa Arsenal, ambaye ni mchezaji wa zamani wa Monaco, amechukua nafasi ya Leonardo Jardim aliyetimuliwa klabuni hapo baada ya kikosi hicho kuwa katika hatari ya kushuka daraja.
Huku kukiwa na mchezo dhidi ya Strasbourg Jumamosi, Mfaransa huyo ililazimika haraka aanze mazoezi na kikosi hicho kinachosuasua msimu huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |