• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • FAO yasifu mafanikio ya China katika kupunguza umaskini

    (GMT+08:00) 2018-10-18 18:28:03
    Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa FAO limesifu mafanikio ya China katika kupunguza umasiki na uhaba wa chakula, na kutoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua kuondoa njaa na utapiamlo.

    Mkurugenzi mkuu wa FAO Bw. Jose Graziano da Silva amesema, China imetumia biashara ya kiilektroniki katika kupungaza umaskini, na uzoefu wa China katika maendeleo na uvumbuzi kwenye sekta ya kilimo ni mfano wa kuigwa kwa nchi nyingine. Pia amesema China imeanzisha ushirikiano wa pande mbili na pande mbalimbali kusaidia nchi zinazoendelea.

    Bw. Silva pia amezisifu Brazil na Peru katika kupunguza uhaba wa chakula kwa kasi ndani ya muda mfupi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako